About Course

Lugha ya Kiswahili hufundishwa katika viwango vyote vya shule za msingi licha ya kuwa ni lugha ya taifa nchini Kenya. Lugha hii hutumiwa kukuza na kuendeleza umoja na uzalendo. Kadhalika, Kiswahili hutimika katika shughuli za kukuza uchumi, mtu kujiendeleza kibinafsi na kukuza tamaduni zetu. Pamoja ha hayo, husaidia kuimarisha usawa baina ya jamii na huchangia katika ustawishaji wa uhusiano na ujirani wa watu wa Afrika Mashariki, Kati na mataifa mengine ya ulimwengu

What Will You Learn?

  • Kusikiliza na kuitikia vilivyo kwa lugha ya Kiswahili
  • Kuongea lugha ya Kiswahili kwa ufasaha
  • Kusoma na kuelewa lugha ya Kiswahili
  • Kujieleza kikamilifu kwa lugha ya Kiswahili kwa kuandika
  • Kutunga kazi za kisanii kulingana na kiwango chake
  • Kutukuza na kuendeleza Kiswahili sanifu maishani

Course Content

SARUFI

  • Somo la 1: Ngeli
  • Somo la 2: Ngeli na vivumishi vya sifa

MSAMIATI

KUSIKILIZA NA KUONGEA (sehemu ya kwanza)

KUSIKILIZA NA KUONGEA (sehemu ya pili)

KUANDIKA (Insha)

KUSOMA: MITUNGO

KUSOMA: UFAHAMU

Student Ratings & Reviews

No Review Yet
No Review Yet
Digital Literacy
KSh 1,000 Original price was: KSh 1,000.KSh 599Current price is: KSh 599.

Digital Literacy

KSh 250 Original price was: KSh 250.KSh 200Current price is: KSh 200.

Class Five Social Studies

KSh 1,999 Original price was: KSh 1,999.KSh 1,799Current price is: KSh 1,799.

Digital Skills for Real Life

Want to receive push notifications for all major on-site activities?

✕