Kiswahili Darasa La Tano
Description
Lugha ya Kiswahili hufundishwa katika viwango vyote vya shule za msingi licha ya kuwa ni lugha ya taifa nchini Kenya. Lugha hii hutumiwa kukuza na kuendeleza umoja na uzalendo. Kadhalika, Kiswahili hutimika katika shughuli za kukuza uchumi, mtu kujiendeleza kibinafsi na kukuza tamaduni zetu. Pamoja ha hayo, husaidia kuimarisha usawa baina ya jamii na huchangia katika ustawishaji wa uhusiano na ujirani wa watu wa Afrika Mashariki, Kati na mataifa mengine ya ulimwengu
What Will I Learn?
- Kusikiliza na kuitikia vilivyo kwa lugha ya Kiswahili
- Kuongea lugha ya Kiswahili kwa ufasaha
- Kusoma na kuelewa lugha ya Kiswahili
- Kujieleza kikamilifu kwa lugha ya Kiswahili kwa kuandika
- Kutunga kazi za kisanii kulingana na kiwango chake
- Kutukuza na kuendeleza Kiswahili sanifu maishani
Topics for this course
2 Lessons45h 30m
SARUFI
Somo la 1: Ngeli
Somo la 2: Ngeli na vivumishi vya sifa
MSAMIATI
KUSIKILIZA NA KUONGEA (sehemu ya kwanza)
KUSIKILIZA NA KUONGEA (sehemu ya pili)
KUANDIKA (Insha)
KUSOMA: MITUNGO
KUSOMA: UFAHAMU
About the instructors
9 Courses
2 students